Yaliyomo
3 Simulizi la Maisha—Nilikuwa Maskini—Sasa Ni Tajiri
JUMA LA JULAI 9-15, 2018
12 Yehova Anawapenda Wale ‘Wanaozaa Matunda kwa Uvumilivu’
JUMA LA JULAI 16-22, 2018
17 Kwa Nini ‘Tunaendelea Kuzaa Matunda Mengi’?
Makala ya kwanza inazungumzia mfano wa Yesu wa mzabibu na wa mpandaji, na pia inazungumzia mambo ambayo mifano hiyo inatufundisha kuhusu kazi yetu ya kuhubiri. Makala ya pili itatusaidia kuchunguza sababu kadhaa za Kimaandiko zinazotuchochea tuendelee kufanya kazi yetu ya kuhubiri kwa uvumilivu.
JUMA LA JULAI 23-29, 2018
JUMA LA JULAI 30, 2018–AGOSTI 5, 2018
27 Vijana—Simameni Imara Mmpinge Ibilisi
Shetani ni adui yetu. Ana mamlaka kubwa kadiri gani? Nguvu zake zina mipaka gani? Na sisi sote, kutia ndani vijana Wakristo, tunawezaje kumpinga? Makala hizi mbili zitatusaidia kujibu maswali hayo na zitatusaidia kuimarisha azimio letu la kusimama imara na kumpinga Ibilisi.
32 Mavuno Tele!