Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w18 Juni uku. 2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
w18 Juni uku. 2

Yaliyomo

JUMA LA AGOSTI 6-12, 2018

3 “Ufalme Wangu Si Sehemu ya Ulimwengu Huu”

JUMA LA AGOSTI 13-19, 2018

8 Na Tuwe na Umoja Kama Yehova na Yesu Walivyo na Umoja

Watu katika siku za Yesu walikuwa wamegawanyika kisiasa, kijamii, na kikabila. Katika makala hizi mbili, tutaona jinsi Kristo alivyowafundisha wafuasi wake kuwa na umoja na kushinda ubaguzi ambao husababisha migawanyiko. Pia, tutaona jinsi mfano wao unavyotuchochea kufanya vivyo hivyo katika ulimwengu wetu uliogawanyika.

13 Angeweza Kuwa na Kibali cha Mungu

JUMA LA AGOSTI 20-26, 2018

16 Acha Sheria na Kanuni za Mungu Zizoeze Dhamiri Yako

Ili dhamiri yetu ituongoze kwa njia inayofaa, ni lazima izoezwe. Kwa upendo, Yehova ameandaa sheria na kanuni zinazotusaidia kuizoeza vizuri dhamiri yetu na kuona mambo jinsi anavyoyaona. Makala hii inazungumzia jinsi tunavyoweza kutumia kanuni za Biblia katika nyanja mbalimbali maishani.

JUMA LA AGOSTI 27, 2018–SEPTEMBA 2, 2018

21 “Acheni Nuru Yenu Iangaze” ili Yehova Atukuzwe

Yesu aliwahimiza wanafunzi wake waache nuru yao iangaze ili Mungu atukuzwe. Makala hii inatoa mapendekezo mazuri ambayo ikiwa tutayatumia, hapana shaka kwamba yatatusaidia ‘kuacha nuru yetu iangaze’ kwa ukamili zaidi.

26 Simulizi la Maisha​—Nimefarijiwa Katika Mahangaiko Yangu Yote

30 Nguvu za Salamu

32 Je, Unakumbuka?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki