Yaliyomo
JUMA LA AGOSTI 6-12, 2018
3 “Ufalme Wangu Si Sehemu ya Ulimwengu Huu”
JUMA LA AGOSTI 13-19, 2018
8 Na Tuwe na Umoja Kama Yehova na Yesu Walivyo na Umoja
Watu katika siku za Yesu walikuwa wamegawanyika kisiasa, kijamii, na kikabila. Katika makala hizi mbili, tutaona jinsi Kristo alivyowafundisha wafuasi wake kuwa na umoja na kushinda ubaguzi ambao husababisha migawanyiko. Pia, tutaona jinsi mfano wao unavyotuchochea kufanya vivyo hivyo katika ulimwengu wetu uliogawanyika.
13 Angeweza Kuwa na Kibali cha Mungu
JUMA LA AGOSTI 20-26, 2018
16 Acha Sheria na Kanuni za Mungu Zizoeze Dhamiri Yako
Ili dhamiri yetu ituongoze kwa njia inayofaa, ni lazima izoezwe. Kwa upendo, Yehova ameandaa sheria na kanuni zinazotusaidia kuizoeza vizuri dhamiri yetu na kuona mambo jinsi anavyoyaona. Makala hii inazungumzia jinsi tunavyoweza kutumia kanuni za Biblia katika nyanja mbalimbali maishani.
JUMA LA AGOSTI 27, 2018–SEPTEMBA 2, 2018
21 “Acheni Nuru Yenu Iangaze” ili Yehova Atukuzwe
Yesu aliwahimiza wanafunzi wake waache nuru yao iangaze ili Mungu atukuzwe. Makala hii inatoa mapendekezo mazuri ambayo ikiwa tutayatumia, hapana shaka kwamba yatatusaidia ‘kuacha nuru yetu iangaze’ kwa ukamili zaidi.
26 Simulizi la Maisha—Nimefarijiwa Katika Mahangaiko Yangu Yote