Yaliyomo
3 Walijitoa Wenyewe kwa Hiari—Nchini Myanmar
JUMA LA SEPTEMBA 3-9, 2018
7 Ungependa Kutambuliwa na Nani?
Watu wengi leo huhangaikia kutambuliwa katika ulimwengu huu mwovu. Katika makala hii, tutachunguza kwa nini tunapaswa daima kuhangaikia kutambuliwa na Mtu bora zaidi ulimwenguni, yaani, Yehova. Pia tutachunguza jinsi ambavyo nyakati nyingine, Yehova huonyesha katika njia zisizotazamiwa kabisa kwamba anawatambua watu wake.
JUMA LA SEPTEMBA 10-16, 2018
12 Macho Yako Yanamtazama Nani?
Katika makala hii, tutachunguza kwa nini Musa, mwanamume mwaminifu, alipoteza pendeleo la kuingia katika Nchi ya Ahadi. Pia, makala hii itatusaidia kutambua jinsi tunavyoweza kuepuka kunaswa na mtego uliomnasa Musa.
JUMA LA SEPTEMBA 17-23, 2018
17 “Ni Nani Aliye Upande wa Yehova?”
JUMA LA SEPTEMBA 24-30, 2018
Wanadamu wote ni mali ya Yehova. Hivyo, ni yeye peke yake anayepaswa kuabudiwa. Hata hivyo, baadhi ya watu huamua kutomtii Mungu huku wakijifanya kuwa waaminifu kwake. Katika makala ya kwanza, tutachunguza mambo muhimu tunayojifunza kutokana na masimulizi ya Biblia kuhusu Kaini, Sulemani, Musa, na Haruni. Katika makala ya pili, tutachunguza ni katika njia zipi mbalimbali tunaweza kuonyesha kwamba tunathamini pendeleo la kuwa watu wa Yehova.
27 Waonyeshe Huruma “Watu wa Namna Zote”
30 Jinsi ya Kufanya Funzo Lako la Biblia Liwe Lenye Kunufaisha na Kufurahisha Zaidi