Yaliyomo
JUMA LA DESEMBA 31, 2018–JANUARI 6, 2019
3 “Inunue Kweli Wala Usiiuze Kamwe”
JUMA LA JANUARI 7-13, 2019
8 “Nitatembea Katika Kweli Yako”
Makala hizi mbili zinatutia moyo tuthamini kweli ya Yehova ambayo thamani yake haiwezi kulinganishwa na chochote. Thamani yake ni kubwa sana kuliko kitu chochote tunachoweza kugharimika ili kuipata. Pia, makala hizi zinazungumzia mambo tunayoweza kufanya ili kuonyesha kwamba tunaendelea kuiona kweli kuwa kama hazina na zitatuimarisha tusiiache kweli au kuiuza ili kupokea kitu kingine chochote.
JUMA LA JANUARI 14-20, 2019
Kitabu cha Habakuki kinaonyesha jinsi tunavyoweza kuendelea kumtumaini Yehova tunapokabili hali ngumu. Makala hii inaonyesha kwamba hata wasiwasi, majaribu, na maumivu yakizidi kuongezeka, mwishowe Mungu atatuthawabisha kwa kutupatia wokovu ikiwa tutaendelea kumtumaini.
JUMA LA JANUARI 21-27, 2019
18 Ni Nani Ambaye Hufinyanga Njia Yako ya Kufikiri?
JUMA LA JANUARI 28, 2019–FEBRUARI 3, 2019
23 Je, Unafanya Mawazo ya Yehova Kuwa Mawazo Yako?
Kadiri tunavyoendelea kukua kiroho, sisi huanza kuelewa jinsi njia ya Yehova ya kufikiri ilivyo bora kupita zote. Makala hizi mbili zinaeleza mambo tunayoweza kufanya ili tuepuke kufinyangwa na mawazo ya ulimwengu huu na badala yake tupatanishe njia yetu ya kufikiri na ile ya Yehova.
28 Fadhili—Sifa Inayoonyeshwa kwa Maneno na Matendo