Yaliyomo
JUMA LA FEBRUARI 4-10, 2019
Wakristo wa kweli wanatazamia kwa hamu kuishi katika Paradiso. Makala hii inazungumzia msingi thabiti wa Kimaandiko unaotufanya tuwe na tumaini hilo na pia jinsi tunavyopaswa kuelewa ahadi ambayo Yesu alitoa kuhusu Paradiso.
JUMA LA FEBRUARI 11-17, 2019
10 Heshimu “Kile Ambacho Mungu Ameunganisha”
Makala hii itazungumzia kile ambacho Biblia inasema kuhusu ndoa yenye kuheshimika. Tunaweza kuonyeshaje kwamba tunaheshimu ndoa? Na tunaweza kuonyeshaje kwamba tunaunga mkono kile ambacho Biblia inasema kuhusu talaka na kutengana?
15 Simulizi la Maisha—‘Yehova Ametutendea kwa Fadhili’
JUMA LA FEBRUARI 18-24, 2019
19 Vijana, Muumba Wenu Anataka Muwe na Furaha
JUMA LA FEBRUARI 25, 2019-MACHI 3, 2019
24 Vijana, Mnaweza Kuwa na Maisha Yenye Kuridhisha
Kwa kawaida vijana wanahitaji kufanya maamuzi makubwa, kama vile kuamua ni malengo gani wanayopaswa kufuatia maishani. Ulimwengu huwapendekezea wafuatie elimu ya juu na kazi nzuri yenye mshahara mnono. Hata hivyo, Yehova anawashauri vijana wamtangulize yeye. Makala hizi mbili zitatusaidia kuona kwamba kumsikiliza Mungu ndiyo uamuzi wa hekima.