Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w18 Desemba uku. 2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
w18 Desemba uku. 2

Yaliyomo

JUMA LA FEBRUARI 4-10, 2019

3 “Tutaonana Paradiso!”

Wakristo wa kweli wanatazamia kwa hamu kuishi katika Paradiso. Makala hii inazungumzia msingi thabiti wa Kimaandiko unaotufanya tuwe na tumaini hilo na pia jinsi tunavyopaswa kuelewa ahadi ambayo Yesu alitoa kuhusu Paradiso.

8 Maswali Kutoka kwa Wasomaji

9 Je, Unakumbuka?

JUMA LA FEBRUARI 11-17, 2019

10 Heshimu “Kile Ambacho Mungu Ameunganisha”

Makala hii itazungumzia kile ambacho Biblia inasema kuhusu ndoa yenye kuheshimika. Tunaweza kuonyeshaje kwamba tunaheshimu ndoa? Na tunaweza kuonyeshaje kwamba tunaunga mkono kile ambacho Biblia inasema kuhusu talaka na kutengana?

15 Simulizi la Maisha​—‘Yehova Ametutendea kwa Fadhili’

JUMA LA FEBRUARI 18-24, 2019

19 Vijana, Muumba Wenu Anataka Muwe na Furaha

JUMA LA FEBRUARI 25, 2019-MACHI 3, 2019

24 Vijana, Mnaweza Kuwa na Maisha Yenye Kuridhisha

Kwa kawaida vijana wanahitaji kufanya maamuzi makubwa, kama vile kuamua ni malengo gani wanayopaswa kufuatia maishani. Ulimwengu huwapendekezea wafuatie elimu ya juu na kazi nzuri yenye mshahara mnono. Hata hivyo, Yehova anawashauri vijana wamtangulize yeye. Makala hizi mbili zitatusaidia kuona kwamba kumsikiliza Mungu ndiyo uamuzi wa hekima.

29 “Mwadilifu Atashangilia kwa Sababu ya Yehova”

32 Fahirisi Ya Habari Za Mnara Wa Mlinzi na Amkeni! 2018

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki