Habari Zilizoteuliwa Kwenye Jw.Org
IGENI IMANI YAO
Yonathani—“Hakuna Kitu Chochote Kinachoweza Kumzuia Yehova”
Yonathani alishambulia kituo kizima cha ulinzi cha Wafilisti waliojihami kwa silaha akiwa na mtumishi wake tu, na matokeo yanakumbukwa hadi leo.
(Tafuta kwenye MAFUNDISHO YA BIBLIA > IMANI KATIKA MUNGU.)
BIBLIA INABADILI MAISHA
Hatimaye Niliacha Kumchukia Baba Yangu
Renée aliondoka nyumbani akiwa na umri wa miaka 14 kwa sababu ya ujeuri wa baba yake. Ni nini kilichowasaidia wapatane miaka mingi baadaye?
(Tafuta kwenye MAFUNDISHO YA BIBLIA > AMANI NA FURAHA.)