Toleo la Funzo
SEPTEMBA 2019
MAKALA ZA FUNZO: OKTOBA 28–DESEMBA 1, 2019
© 2019 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
Gazeti hili haliuzwi. Ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari. Ikiwa ungependa kutoa mchango, tafadhali tembelea donate.jw.org.
Isipokuwa iwe imeonyeshwa vingine, Maandiko yamenukuliwa kutoka katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.
PICHA KWENYE JALADA:
Mtume Yohana aliona “umati mkubwa” wa watu wakiwa wamevaa kanzu nyeupe na wakiwa na matawi ya mitende mikononi mwao (Tazama makala ya 39, fungu la 2)