Matangazo
● Toleo la fasihi kwa Aprili na Mei: Uandikishaji wa Mnara wa Mlinzi kwa mwaka mmoja. Uandikishaji wa Amkeni! unaweza kutolewa kwa msingi ule ule. Maandikisho ya miezi sita na mwaka mmoja ya chapa za kila mwezi yanaweza kupatikana. Juni: Amani ya Kweli na Usalama—Unawezaje Kuupata? au “Ufalme wako uje” katika Kiswahili. Julai, Agosti na Septemba: Mojapo za broshua zinazofuata zenye ukubwa wa gazeti: Furahia Maisha Milele Duniani!, “Tazama! Mimi Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya,” Jina la Mungu Litakaloendelea Milele, na Serikali Itakayoleta Paradiso. Makundi ambayo yana vitabu vifuatavyo yanaweza kuvitoa kwa nusu ya bei ya kawaida: Kuchagua Njia Bora ya Maisha, Commentary on the Letter of James, God’s “Eternal Purpose” Now Triumphing for Man’s Good, na Is the Bible Really the Word of God? (Ili kupunguziwa bei, wazee wapasa kurejezea kwenye Huduma ya Ufalme Yetu, ya Desemba 1988 ukurasa 3, chini ya matangazo.)
● Mahali panapofaa wazee wanapasa wafanye mipango ili kundi lishiriki kutoa ushuhuda jioni-jioni.