Mikutano ya Utumishi wa Shambani
DESEMBA 4-10
Pitia Kichwa cha Mazungumzo
1. Ni nini mambo makuu ya utoaji?
2. Kitatimizaje mahitaji ya watu kwenye ujirani?
DESEMBA 11-17
Na Kitabu Changu
1. Ni visehemu au sura gani katika orodha ya yaliyomo ulizotumia kwa utoaji?
2. Ni mambo au picha gani hususa ambazo umekazia?
DESEMBA 18-24
Wakati wa majira ya sikukuu
1. Unajibuje salamu za sikukuu?
2. Unaweza kutumiaje Wakolosai 4:6 wakati wa kutoa ushahidi?
DESEMBA 25-31
Kuwatolea vijana ushahidi
1. Kwa nini busara inahitajiwa wakati wa kuongea na vijana?
2. Unaweza kufanya nini uungwe mkono na wazazi?