Mikutano ya Utumishi wa Shambani
MEI 7-13
Twawezaje kwa matokeo
1. Kufanya ziara za kurudia?
2. Kuanzisha kawaida za kupelekea watu magazeti?
3. Kueneza eneo letu?
MEI 14-20
Ni jinsi gani funzo la Biblia lingeweza kuanzishwa
1. Na mwenye nyumba unayepelekea magazeti kwa ukawaida?
2. Katika eneo ambalo fasihi nyingi imeangushwa?
3. Kwa kutumia Biblia tu?
MEI 21-27
Twaweza kujibuje kama mwenye nyumba akisema:
1. “Mimi nimezoeana na kazi yenu”?
2. “Kwa nini Mungu anaruhusu uovu mwingi hivi?” (rs uku. 430)
MEI 28–JUNI 3
Unaponena na mwenye nyumba, ni jinsi gani
1. Maswali yaweza kutumiwa ili kumvuta kwenye mazungumzo?
2. Vielezi vyaweza kutumiwa ili kuamsha kupendezwa kwake?
3. Twaweza kuonyesha busara na staha kwa ajili ya wakati wake?