Matangazo
◼ Toleo la fasihi kwa Mei: Uandikishaji wa Mnara wa Mlinzi. Maandikisho yanaweza kupatikana kwa mwaka mmoja au miezi sita. Uandikishaji usipopatikana, magazeti mawili na nakala ya broshua yoyote (isipokuwa broshua Shule) yaweza kutolewa kwa mchango wa kawaida. Juni: Mankind’s Search for God au Biblia—Neno la Mungu au la Binadamu? Julai: Yoyote ya broshua zifuatazo: Furahia Milele Maisha Duniani!, “Tazama! Mimi Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya,” Je! Uamini Utatu?, Jina la Mungu Litakaloendelea Milele, au Serikali Itakayoleta Paradiso. Agosti: Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani. ANGALIA: Makundi ambayo bado hayajaagiza vifaa vya kampeni vilivyotajwa juu yapaswa yafanye hivyo kwenye Fomu ya Agizo la Vitabu (S-14) ya mwezi utakaofuata.
◼ Vichapo Vipya Vinavyopatikana: Kiarabu: Uzima Katika Ulimwengu Mpya Wenye Amani (Trakti Na. 15). Kifaransa: Kuyachunguza Maandiko Kila Siku 1992; Kalenda ya 1992. Kiingereza: Jehovah’s Witnesses—The Organization Behind the Name, kaseti za video VHS-mfumo wa Pal; Vifuniko vya Faili vya Magazeti (Kifaa hiki ni badala ya Majalada ya Mnara wa Mlinzi na Amkeni!). Kiswahili: Vilivyosahihishwa: Mashahidi wa Yehova Katika Karne ya Ishirini; Roho za Wafu—Je! Zaweza Kukusaidia au Kukuumiza? Je! Ziko Kweli?; Biblia—Neno la Mungu au la Binadamu?
◼ Vitabu-Mwaka vya Kiswahili vilivyo akibani vya miaka 1986, 1988, na 1990 vyaweza kutolewa kwa bei zifuatazo zilizopunguzwa: Kshs. 10/- pai. na mhu.; FRw 40 pai. na mhu.; Tshs. 80/- pai. na mhu.; na Ushs. 400/- pai. na mhu.