Kikumbusho
◼ Kuhusu “barua za kupokezana” (barua inayopelekwa kwa watu kadha ikiwa na ombi kwamba kila mmoja wao apeleke zawadi pamoja na nakala za barua hiyo kwa idadi ya watu waliotajwa kwenye barua kwa msingi wa kwamba wao pia watapokea zawadi) Amkeni! la Juni 8, 1970, ukurasa 19, Kiingereza lilisema: “Kwa sababu nzuri, basi, watu wengi ambao wamepokea ‘barua za kupokezana’ wamezitupa tu ndani ya pipa la takataka, wakiepuka kushiriki katika utendaji usio wa Kikristo na labda usio halali.”