Habari Za Kitheokrasi
Angola: Wakati wa mwezi Desemba, jumla ya maangusho ya magazeti iliongezeka zaidi ya 10,000 kutoka kwenye kilele cha wakati wote kilichotangulia. Wale wahubiri 21,965 wanaongoza mafunzo ya Biblia 60,691.
Latvia: Kazi yaendelea kusonga mbele katika Latvia. Desemba uliopita kilele cha wahubiri 577 waliripoti.
Programu za kuweka wakfu Majumba ya Ufalme zilifanywa hivi karibuni kwa ajili ya makutaniko yafuatayo: Akaki, Ethiopia, Machame, Tanzania, na Kampala East, Uganda.