Matangazo
◼ Toleo la fasihi kwa Julai: Mchanganyiko wa vijitabu vitatu vyenye kurasa 32 ambavyo kutaniko linavyo akibani. Ikiwa vijitabu haviko katika lugha inayotumika sana katika eneo lenu basi broshua ifaayo yaweza kutumiwa kuwa badala. Vijitabu vyenye kurasa 32 vyaweza kuagizwa kutoka kwa Sosaiti. Agosti: Yoyote ya broshua zifuatazo zenye kurasa 32 zaweza kutumiwa: Je! Kweli Mungu Anatujali?, Furahia Milele Maisha Duniani!, “Tazama! Mimi Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya,” Je! Uamini Utatu?, Jina la Mungu Litakaloendelea Milele, Serikali Itakayoleta Paradiso, na Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai—Wewe Waweza Kulipataje? Septemba: Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani. TAARIFA: Makutaniko yote yatakayohitaji vifaa vya kampeni vilivyotajwa juu yapaswa yaviagize kwenye Agizo la Fasihi (S-14-SW) la kila mwezi litakalofuata.
◼ Waandishi wapaswa kuhakikisha kwamba fomu S-AB-20-SW imetiwa sahihi na watu wawili tofauti kama inavyotakikana. Katika makutaniko ambamo mtu anayetayarisha S-AB-20-SW ndiye mwandishi vilevile, basi ndugu mwingine apaswa kutia sahihi ili kwamba fomu ya S-AB-20-SW iwe na sahihi mbili za watu tofauti nyuma yayo.