Habari Za Kitheokrasi
Ethiopia: Kulikuwa na wahubiri 4,587 wakiripoti katika Februari. Hiki kilikuwa kilele kipya. Majumba ya Ufalme mawili yaliwekwa wakfu huko mwezi huo.
Filipino: Kilele kipya cha wahubiri 119,549 kiliripoti katika Februari.
Rwanda: “Hofu ya Kimungu” Mkusanyiko wa Wilaya ulifanywa majuzi kwa vikundi vidogo-vidogo kukiwa na jumla ya hudhurio la 6,062, na 178 wakabatizwa.
Saiprasi: Kilele kipya cha wahubiri 1,626 kilifikiwa katika Februari. Hudhurio lao la siku ya kusanyiko la pekee lilikuwa 2,249.
Trinidad: Kilele kipya cha wahubiri 6,786 kiliripoti katika Februari.