Matangazo
◼ Toleo la fasihi kwa Mei: Maandikisho ya Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Mahali ambapo andikisho halichukuliwi toa magazeti yote mawili kwa mchango wa kawaida au broshua yoyote yaweza pia kutumiwa (isipokuwa broshua Elimu na Shule). Juni: Ujuzi Uongozao Kwenye Uhai Udumuo Milele. Julai na Agosti: Yoyote ya broshua zenye kurasa 32 zifuatazo: Furahia Milele Maisha Duniani!, Je! Kweli Mungu Anatujali?, Je! Uamini Utatu?, Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa, Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai—Wewe Waweza Kulipataje?, Serikali Itakayoleta Paradiso, na “Tazama! Mimi Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya.” Mahali panapofaa, broshua kama vile Je! Ulimwengu Usio na Vita Utakuwako Wakati Wowote?, Roho za Wafu—Je! Zaweza Kukusaidia au Kukuumiza? Je! Ziko Kweli?, na Our Problems—Who Will Help Us Solve Them? zaweza kutolewa. Inadokezwa kwamba kitabu Kuishi Milele kitolewe tunapohubiri eneo lililo pekee na lisilohubiriwa mara nyingi.