Matangazo
◼ Toleo la fasihi la Julai na Agosti: Broshua zozote zifuatazo zenye kurasa 32 zaweza kutumiwa: Furahia Milele Maisha Duniani!, Je! Kweli Mungu Anatujali?, Je! Uamini Utatu?, Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa, Ni Nini Hutupata Tunapokufa?, Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai—Wewe Waweza Kulipataje?, na Serikali Itakayoleta Paradiso. Broshua Kitabu kwa Ajili ya Watu Wote, Roho za Wafu—Je! Zaweza Kukusaidia au Kukuumiza? Je! Ziko Kweli?, Je! Ulimwengu Usio na Vita Utakuwako Wakati Wowote?, na Our Problems –Who Will Help Us Solve Them? zaweza kutolewa mahali panapozifaa. Septemba: Ujuzi Uongozao Kwenye Uhai Udumuo Milele, pia vichapo vilivyo toleo la pekee vinavyopatikana katika kutaniko vyaweza kutolewa. Oktoba: Toa maandikisho ya Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Mahali ambapo maandikisho hayachukuliwi, toa nakala mojamoja za magazeti.
◼ Kuanzia Septemba, waangalizi wa mzunguko watatoa Hotuba yenye kichwa “Yehova Ni ‘Ngome’ kwa Watu Wake.”