Habari za Kitheokrasi
◼ Majumba ya Ufalme yafuatayo yaliwekwa wakfu hivi karibuni:
Burundi: Mageyo, Mubone, na Rutumo.
Kenya: Hakati, Malakisi, Matiliku, Mkapuni, Nairobi Kabete Kusini, Nangili, na Sipili.
Tanzania: Bomang’ombe, Buganguzi, Bukoba, Chimala, Handeni, Ibililo, Kamachumu, Malampaka, Ma-lindo, Mbalizi-Kaskazini, Morogoro, Morogoro-Magharibi, na Tabora.
Uganda: Kampala Muyenga.