Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 7/07 uku. 3
  • Matangazo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Matangazo
  • Huduma ya Ufalme—2007
Huduma ya Ufalme—2007
km 7/07 uku. 3

Matangazo

◼ Toleo la vichapo la Julai na Agosti: Broshua yoyote kati ya hizi zifuatazo zenye kurasa 32 yaweza kutumiwa: Endeleeni Kukesha!, Furahia Milele Maisha Duniani!, Je! Kweli Mungu Anatujali? Je! Uamini Utatu?, Jina la Mungu Litakaloendelea Milele, Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa, Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai—Wewe Unaweza Kulipataje?, Ni Nini Hutupata Tunapokufa?, Serikali Itakayoleta Paradiso, na “Tazama! Mimi Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya.” Katika sehemu fulani za eneo lenu huenda ikafaa kutoa broshua zifuatazo: Je! Ulimwengu Usio na Vita Utakuwako Wakati Wowote?, Je, Umeipata Barabara Inayoongoza Kwenye Uhai wa Milele?, Jinsi ya Kupata Maisha Yenye Kuridhisha, Kitabu kwa Ajili ya Watu Wote, Our Problems—Who Will Help Us Solve Them?, na Roho za Wafu—Je! Zaweza Kukusaidia au Kukuumiza? Je! Ziko Kweli? Septemba: Tutatoa kitabu Biblia Inafundisha Nini Hasa? Jitihada za pekee zinapaswa kufanywa ili kuanzisha funzo la Biblia katika ziara ya kwanza. Ikiwa tayari wenye nyumba wana kitabu hicho, waonyeshe jinsi wanavyoweza kufaidika na kitabu hicho kwa kuwaonyesha kwa ufupi funzo la Biblia linavyofanywa. Oktoba: Tutatoa magazeti ya Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Ikiwa upendezi unaonyeshwa, toa na uzungumzie trakti Je, Ungependa Kujua Mengi Zaidi Kuhusu Biblia? ukiwa na lengo la kuanzisha funzo la Biblia. Kitabu Ujuzi kinaweza kutolewa pia.

◼ Kwa kuwa mwezi Septemba una majuma matano, utakuwa ni mwezi mzuri wa kufanya upainia msaidizi.

◼ Kuanzia mwezi wa Septemba, waangalizi wa mzunguko watatoa hotuba ya watu wote yenye kichwa “Ni Nini Kinachofanya Biblia Iwe Yenye Kutegemeka?”

◼ Inapendekezwa kwamba maombi ya kuwa painia wa kawaida yatumwe ofisini angalau siku 30 kabla ya tarehe ya kuanza iliyoombwa. Mwandishi wa kutaniko anapaswa kuipitia fomu hiyo kuhakikisha kama imejazwa vizuri. Kama waombaji hawakumbuki tarehe hususa ya kubatizwa kwao, wanaweza kukadiria tarehe na kuweka kumbukumbu. Mwandishi anaweza kuandika tarehe hiyo kwenye kadi ya Rekodi ya Kutaniko ya Mhubiri (S-21)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki