Matangazo
◼ Toleo la mwezi wa Desemba: Yule Mtu Mkuu Zaidi Aliyepata Kuishi. Ikiwa mwenye nyumba ana watoto, mwachie kitabu Jifunze Kutoka kwa Mwalimu Mkuu au Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia. Januari: Biblia Inafundisha Nini Hasa? Jitahidi kuanzisha funzo la Biblia katika ziara ya kwanza. Ikiwa mwenye nyumba tayari ana kitabu hiki na hakubali funzo la Biblia, mhubiri anaweza kumwachia gazeti lolote la zamani au broshua yoyote inayomfaa. Februari: Wahubiri wanaweza kutoa kimoja kati ya vitabu vifuatavyo: Biblia—Neno la Mungu au la Binadamu?, Je, Kuna Muumba Anayekujali?, na Siri ya Kupata Furaha ya Familia. Machi: Biblia Inafundisha Nini Hasa? Jitahidi kuanzisha funzo la Biblia katika ziara ya kwanza. Ikiwa mwenye nyumba tayari ana kitabu hiki na hakubali funzo la Biblia, mhubiri anaweza kumwachia gazeti lolote la zamani au broshua yoyote inayomfaa.
◼ Ukumbusho wa mwaka wa 2013 utafanywa Jumanne, Machi 26.