Matangazo
◼ Toleo la mwezi wa Novemba na Desemba: Wahubiri wanaweza kutoa mojawapo ya trakti zifuatazo: Je! Ulimwengu Huu Utaokoka?, Je, Una Roho Isiyoweza Kufa?, Kuteseka Kote Kutaisha Karibuni!, Mashahidi wa Yehova Wanaamini Nini?, Tumaini kwa Wapendwa Waliokufa, Uzima Katika Ulimwengu Mpya Wenye Amani, na Yehova—Yeye Ni Nani? Ikiwa kuna upendezi, onyesha jinsi funzo la Biblia linavyofanywa ukitumia kitabu Biblia Inafundisha au mojawapo ya broshua Msikilize Mungu au Msikilize Mungu Uishi Milele. Januari na Februari: Wahubiri wanaweza kutoa mojawapo ya broshua zifuatazo zenye kurasa 32: Furahia Milele Maisha Duniani!, Je, Kweli Mungu Anatujali?, Je, Umeipata Barabara Inayoongoza Kwenye Uhai wa Milele?, Jina la Mungu Litakaloendelea Milele, Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa, Mungu Anataka Tufanye Nini?, Ni Nini Hutupata Tunapokufa?, Roho za Wafu—Je, Zaweza Kukusaidia au Kukuumiza? Je, Ziko Kweli?, Serikali Itakayoleta Paradiso, Wewe Unaweza Kuwa Rafiki ya Mungu, Lasting Peace and Happiness—How to Find Them, au Our Problems—Who Will Help Us Solve Them? Unapowarudia watu waliopendezwa, tumia kitabu Biblia Inafundisha au ikitegemea hali za yule unayezungumza naye, mojawapo ya broshua, Msikilize Mungu au Msikilize Mungu Uishi Milele, na ujitahidi kuanzisha funzo la Biblia.