Habari Kuu za Utumishi
Kenya: Katika mwezi wa Aprili kulikuwa na kilele cha mapainia wa kawaida 3,091, jumla ya wahubiri 26,448, na mafunzo ya Biblia 45,496.
Sudan: Kulikuwa na ongezeko la asilimia 22 la wahubiri kwa kulinganishwa na wastani wa mwaka uliopita.
Sudan Kusini: Kulikuwa na vilele vipya katika mwezi wa Aprili wa vijitabu, broshua na trakti 16,077, saa 30,570, na ziara za kurudia 25,494.
Tanzania: Ilipendeza kuona kwamba mapainia wasaidizi 1,737 na mapainia wa kawaida 1,390 walitoa ripoti mwezi wa Aprili na mafunzo ya Biblia 31,000 hivi, yaliongozwa.