HAZINA ZA NENO LA MUNGU | NEHEMIA 12-13
Mambo Tunayojifunza Kutoka kwa Nehemia
Nehemia alitetea ibada ya kweli kwa bidii
Kuhani Mkuu Eliyashibu alimruhusu Tobia, ambaye hakuwa mwamini na aliyekuwa mpinzani, amwongoze vibaya
Eliyashibu alimpa Tobia jumba la kulia chakula hekaluni
Nehemia alitupa nje vitu vyote vya Tobia, akasafisha jumba hilo ili litumiwe kwa njia inayofaa
Nehemia aliendelea kuondoa uchafu wote Yerusalemu