Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Agosti uku. 5
  • Agosti 15-21

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Agosti 15-21
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Agosti uku. 5

Agosti 15-21

ZABURI 102-105

  • Wimbo 80 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Yehova Anakumbuka Sisi Ni Mavumbi”: (Dak. 10)

    • Zb 103:8-12—Yehova anatusamehe kwa rehema tunapotubu (w13 6/15 20 ¶14; w12 7/15 16 ¶17)

    • Zb 103:13, 14—Yehova anajua vizuri mambo tunayoweza na tusiyoweza kuvumilia (w15 4/15 26 ¶8; w13 6/15 15 ¶16)

    • Zb 103:19, 22—Kuthamini rehema na huruma ya Yehova kutatuchochea kuunga mkono enzi yake kuu (w10 11/15 25 ¶5; w07 12/1 21 ¶1)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Zb 102:12, 27​—Kukazia fikira uhusiano wetu na Yehova kunatusaidiaje tunapokuwa na matatizo? (w14 3/15 16 ¶19-21)

    • Zb 103:13​—Kwa nini Yehova hajibu papo hapo kila jambo tunaloomba? (w15 4/15 25 ¶7)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kutumia katika huduma ya shambani?

  • Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Zb 105:24-45

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) g16.4 10-11​—Weka msingi wa ziara ya kurudia.

  • Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) g16.4 10-11​—Weka msingi wa ziara inayofuata.

  • Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) bh 164-166 ¶3-4​—Msaidie mwanafunzi aone jinsi anavyoweza kutumia habari hiyo.

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 91

  • Usisahau Kamwe Mambo Ambayo Yehova Amekufanyia (Zb 103:1-5): (Dak. 15) Mazungumzo. Anza kwa kuonyesha video Nilichoshwa na Maisha Yangu inayopatikana kwenye jw.org/sw. (Tafuta kwenye KUTUHUSU > UTENDAJI.) Kisha mzungumzie maswali yafuatayo: Tuna sababu gani za kumsifu Yehova? Kwa sababu ya wema wa Yehova, tutarajie baraka gani wakati ujao?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) ia sura ya 22 ¶1-13

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 131 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki