Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Januari uku. 2
  • Januari 2-8

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Januari 2-8
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Januari uku. 2

Januari 2-8

ISAYA 24-28

  • Wimbo 12 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak.3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Yehova Huwatunza Watu Wake”: (Dak.10)

    • Isa 25:4, 5—Yehova ni kimbilio la kiroho kwa wote wanaotaka kumtumikia (ip-1 272 ¶5)a

    • Isa 25:6—Yehova ametimiza ahadi yake ya kutuandalia chakula kingi cha kiroho (w16.05 24 ¶4; ip-1 273 ¶6-7)

    • Isa 25:7, 8—Hivi karibuni dhambi na kifo vitaondolewa (w14 9/15 26 ¶15; ip-1 273-274 ¶8-9)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak.8)

    • Isa 26:15—Yehova anapopanua “mipaka yote ya nchi,” tunaweza kufanya nini ili kusaidia kazi hiyo? (w15 7/15 11 ¶18)

    • Isa 26:20—Inaonekana “vyumba vya ndani” vilivyotabiriwa katika mstari huu ni nini? (w13 3/15 23 ¶15-16)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kushiriki na wengine katika huduma ya shambani?

  • Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak.4) Isa 28:1-13

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Uwe Tayari Kutoa Machapisho Mwezi Huu: (Dak.15) Mazungumzo yanayotegemea “Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi.” Onyesha video za mapendekezo, halafu mzungumzie mambo makuu. Katika mwezi wa Januari, wahubiri wanaweza pia kutoa broshua Maswali Matano Muhimu Kuhusu Chanzo cha Uhai ikiwa watakutana na mtu anayetaka habari zaidi kuhusu uthibitisho wa kuwapo kwa Muumba. Watie moyo watumie nafasi zozote zinazojitokeza kuonyesha video yenye kichwa Uhai—Ulitokana na Muumba? Ikiwa video hizo hazipatikani, panga kuwe na onyesho.

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 138

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak.15) Au mnaweza kuzungumzia mambo tunayojifunza katika Kitabu cha Mwaka. (yb16 140-142)

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 6 ¶8-15, na sanduku “Makusanyiko ya Zamani Yaliyochochea Kazi ya Kuhubiri”

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 66 na Sala

Ufupisho wa Machapisho:

a ip-1 = Unabii wa Isaya—Buku la Kwanza; w = Mnara wa Mlinzi; yb = Kitabu cha Mwaka; kr = Ufalme wa Mungu Unatawala!; wp = Mnara wa Mlinzi Toleo la Watu Wote; bh = Biblia Inafundisha Nini Hasa?; lc = Uhai—Ulitokana na Muumba; lv = Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu; jl = Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki