Januari 30–Februari 5
ISAYA 43-46
Wimbo 33 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Yehova Ni Mungu wa Unabii wa Kweli”: (Dak. 10)
Isa 44:26-28—Yehova alitabiri kwamba jiji la Yerusalemu na hekalu lake lingejengwa upya, na alisema mapema kuwa Koreshi atashinda Babiloni (ip-2 71-72 ¶22-23)
Isa 45:1, 2—Yehova alitaja mambo hususa kuhusu kushambuliwa kwa Babiloni (ip-2 77-78 ¶4-6)
Isa 45:3-6—Yehova alieleza kwa nini alimtumia Koreshi kushambulia Babiloni (ip-2 79-80 ¶8-10)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Isa 43:10-12—Waisraeli wangekuwa taifa la mashahidi wa Yehova katika njia gani? (w14 11/15 21-22 ¶14-16)
Isa 43:25—Ni sababu gani ya msingi inayomfanya Yehova afute makosa? (ip-2 60 ¶24)
Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?
Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kushiriki na wengine katika huduma ya shambani?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Isa 46:1-13
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) lc—Kumhubiria mfanyakazi au mwanafunzi mwenzako kwa njia isiyo rasmi.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) lc—Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) jl somo la 4
MAISHA YA MRISTO
Tunawezaje Kuwa na Hakika Kwamba Yale Yaliyoandikwa Katika Biblia Ni ya Kweli?: (Dak. 15) Onyesha video. Tunawezaje Kuwa na Hakika Kwamba Yale Yaliyoandikwa Katika Biblia Ni ya Kweli? Kisha zungumzieni maswali yafuatayo: Tunaweza kutumiaje video hii tunapohubiri isivyo rasmi, hadharani, na nyumba kwa nyumba? Umepata mambo gani yenye kupendeza ulipotumia video hii?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 7 ¶19-23, sanduku “JW.ORG,” chati “Baadhi ya Mbinu Zilizotumiwa Kuwafikia Watu Wengi Sana,” na sanduku la pitio “Ufalme Ni Halisi Kwako Kadiri Gani?”
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 103 na Sala