Machi 6-12
YEREMIA 1-4
Wimbo 23 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mimi Niko Pamoja Nawe ili Nikukomboe”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Yeremia.]
Yer 1:6—Yeremia alihisi hakustahili mgawo aliopewa (w11 3/15 29 ¶4)a
Yer 1:7-10, 17-19—Yehova aliahidi kumwimarisha na kumsaidia Yeremia (w05 12/15 23-24 ¶18; jr 88 ¶14-15)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yer 2:13, 18—Ni mambo gani mawili mabaya ambayo Waisraeli wasio waaminifu walifanya? (w07 3/15 10 ¶1)
Yer 4:10—Ni katika maana gani Yehova ‘aliwadanganya’ watu wake? (w07 3/15 9 ¶4)
Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?
Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kushiriki na wengine katika huduma ya shambani?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Yer 4:1-10
BORESHA HUDUMA YAKO
Uwe Tayari Kutoa Machapisho Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumzo yanayotegemea “Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi.” Onyesha video za mapendekezo, halafu mzungumzie mambo makuu. Ikiwa video hizo hazipatikani, panga kuwe na onyesho.
MAISHA YA MKRISTO
Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo: (Dak. 7) Onyesha video ya Machi ya Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo.
Kampeni ya Ukumbusho Itakayoanza Machi 18: (Dak. 8) Hotuba itolewe na mwangalizi wa utumishi ikitegemea Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha la Februari 2016, ukurasa wa 8. Wagawie wasikilizaji nakala ya mwaliko wa Ukumbusho na upitie mambo yaliyomo. Eleza mipango ya kutaniko ya kuwaalika watu wote katika eneo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 9 ¶10-15, chati “Ongezeko la Idadi ya Mafunzo ya Biblia,” na masanduku “Yehova Alifanya Iwezekane” na “Jinsi Ambavyo “Mnyonge” Amekuwa “Taifa Lenye Nguvu””
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 74 na Sala
a Ufupisho wa Machapisho: w = Mnara wa Mlinzi; jr = Mungu Asema Nasi Kupitia Yeremia; kr = Ufalme wa Mungu Unatawala!; T-36 = Ufalme wa Mungu Ni Nini?; jl = Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo?; it = Insight on the Scriptures; wp = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Watu Wote; ld = Msikilize Mungu