Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Machi uku. 7
  • Waisraeli Walimsahau Yehova

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Waisraeli Walimsahau Yehova
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Habari Zinazolingana
  • Jihadhari na Moyo Wenye Hila
    Mungu Asema Nasi Kupitia Yeremia
  • Yeremia Nabii wa Hukumu za Mungu Asiyependwa na Wengi
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1988
  • Kitabu Cha Biblia Namba 26—Yeremia
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
  • “Nimeyatia Maneno Yangu Katika Kinywa Chako”
    Mungu Asema Nasi Kupitia Yeremia
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Machi uku. 7

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YEREMIA 12-16

Waisraeli Walimsahau Yehova

Yeremia alipewa mgawo mgumu ambao ungeonyesha jinsi Yehova alivyoazimia kuangamiza Yuda na Yerusalemu yenye kiburi.

Yeremia akisafiri kutoka Yerusalemu hadi kwenye Mto Efrati na kurudi

Yeremia alinunua mshipi wa kitani

13:1, 2

  • Mshipi uliofungwa kiunoni uliwakilisha uhusiano wa karibu kati ya Yehova na taifa hilo

Yeremia aliupeleka mshipi huo kwenye Mto Efrati

13:3-5

  • Aliuficha kwenye mpasuko wa mwamba kisha akarudi Yerusalemu

Yeremia alirudi kwenye Mto Efrati kuuchukua mshipi

13:6, 7

  • Mshipi ulikuwa umeharibika

Baada ya Yeremia kutekeleza mgawo wake ndipo Yehova alimweleza kilichomaanishwa na mfano huo

13:8-11

  • Utii wa Yeremia wa kutoka moyoni katika jambo ambalo lilionekana kuwa dogo ulitimiza fungu muhimu katika jitihada za Yehova za kufikia mioyo ya watu wake

JE, WAJUA?

Umbali kutoka Yerusalemu hadi kwenye Mto Efrati ulikuwa kilomita 500 hivi. Ili kwenda na kurudi mara mbili, Yeremia alisafiri jumla ya kilomita 2,000 hivi, hivyo huenda alitembea kwa miezi kadhaa.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki