Mei 1-7
YEREMIA 32-34
Wimbo 138 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Ishara Kwamba Israeli Lingerudishwa”: (Dak. 10)
Yer 32:6-9, 15—Yehova alimwagiza Yeremia anunue shamba kama ishara kwamba Yehova angerudisha Israeli (it-1 105 ¶2)a
Yer 32:10-12—Yeremia alifuata utaratibu wote wa kisheria aliponunua shamba hilo (w07 3/15 11 ¶3)
Yer 33:7, 8—Yehova aliahidi ‘kuwatakasa’ mateka (jr 152 ¶22-23)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yer 33:15—“Chipukizi” la Daudi ni nani? (jr 173 ¶10)
Yer 33:23, 24—“Familia mbili” zinazotajwa hapa ni gani? (w07 3/15 11¶4)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo umepata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Yer 32:1-12
BORESHA HUDUMA YAKO
Uwe Tayari Kutoa Machapisho Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumzo yanayotegemea “Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi.” Onyesha video za mapendekezo, halafu mzungumzie mambo makuu. Ikiwa video hizo hazipatikani, panga kuwe na onyesho. Watie moyo wote watumie vizuri video ya utangulizi wanapotoa broshua Unaweza Kuwa na Familia Yenye Furaha.
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15) Au mnaweza kuzungumzia mambo tunayojifunza katika Kitabu cha Mwaka. (yb16 67-71)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 12 ¶1-8, sanduku “Alikubali kwa Unyenyekevu Kurekebishwa”
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 23 na Sala
a Ufupisho wa Machapisho: it = Insight on the Scriptures; w = Mnara wa Mlinzi; jr = Mungu Asema Nasi Kupitia Yeremia; yb = Kitabu cha Mwaka; kr = Ufalme wa Mungu Unatawala!; wp = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Watu Wote; jl = Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo?; bh = Biblia Inafundisha Nini Hasa?; hf = Unaweza Kuwa na Familia Yenye Furaha; lv = Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu; ip-2 = Unabii wa Isaya—Buku la 2; T-32 = Ni Nini Siri ya Kuwa na Familia Yenye Furaha?