Mei 15-21
YEREMIA 39-43
Wimbo 133 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Yehova Atamlipa Kila Mmoja Kulingana na Kazi Yake”: (Dak. 10)
Yer 39:4-7—Sedekia alipatwa na matokeo mabaya kwa kutomtii Yehova (it-2 1228 ¶4)
Yer 39:15-18—Yehova alionyesha kwamba alimthamini Ebed-meleki kwa kuwa alimtegemea Mungu (w12 5/1 31 ¶5)
Yer 40:1-6—Yehova alimtunza mtumishi wake mwaminifu Yeremia (it-2 482)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yer 42:1-3; 43:2, 4—Tunaweza kujifunza masomo gani kutokana na kosa la Yohanani? (w03 5/1 10 ¶10)
Yer 43:6, 7—Matukio yanayoelezwa katika mistari hii yanamaanisha nini? (it-1 463 ¶4)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo umepata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Yer 40:11–41:3
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Isa 46:10—Fundisha Kweli. Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Ufu 12:7-9, 12—Fundisha Kweli. Weka msingi wa ziara inayofuata.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) bh 153 ¶19-20—Mkaribishe mwanafunzi wa Biblia kwenye mikutano.
MAISHA YA MKRISTO
“Yehova Hawezi Kusahau Upendo Wako” (Zb 71:18): (Dak. 15) Mazungumzo. Anza kwa kuonyesha video Yehova Hawezi Kusahau Upendo Wako.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 12 ¶16-23, masanduku “‘Tulishangaa’” na “Ziara za Kila Juma Zenye Matokeo,” sanduku la pitio “Ufalme Ni Halisi Kwako Kadiri Gani?”
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 123 na Sala