Juni 19-25
EZEKIELI 1-5
Wimbo 75 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Ezekieli Alifurahia Kutangaza Ujumbe wa Mungu”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Ezekieli.]
Eze 2:9–3:2—Ezekieli alikula kitabu cha kukunjwa cha “nyimbo za huzuni na maombolezo na vilio” (w08 7/15 8 ¶6-7; it-1 1214)
Eze 3:3—Ezekieli alithamini kumtumikia Yehova akiwa nabii (w07 7/1 12 ¶3)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Eze 1:20, 21, 26-28—Gari la kimbingu linafananisha nini? (w07 7/1 11 ¶6)
Eze 4:1-7—Je, kweli Ezekieli aliigiza kuzingirwa kwa Yerusalemu? (w07 7/1 12 ¶4)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Eze 1:1-14
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) T-32—Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) T-32—Onyesha video Utangulizi wa Unaweza Kuwa na Familia Yenye Furaha, na umtolee mwenye-nyumba broshua hiyo.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) bh 143 ¶20-21—Onyesha jinsi unavyoweza kufikia moyo wa mwanafunzi.
MAISHA YA MKRISTO
“Furahia Kuhubiri Habari Njema”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video Pata Shangwe Tena kwa Kujifunza na Kutafakari.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 14 ¶1-7
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 32 na Sala