Juni 26–Julai 2
EZEKIELI 6-10
Wimbo 141 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Je, Utatiwa Alama ya Wokovu?”: (Dak. 10)
Eze 9:1, 2—Maono ya Ezekieli yanatufundisha mambo muhimu (w16.06 16-17)
Eze 9:3, 4—Wale ambao wamekubali ujumbe unaohubiriwa watatiwa alama ya wokovu pindi fulani wakati wa dhiki kuu
Eze 9:5-7—Yehova hatawaangamiza waadilifu pamoja na waovu
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Eze 7:19—Mstari huu unatusaidiaje kujitayarisha kwa ajili ya wakati ujao? (w09 9/15 23 ¶10)
Eze 8:12—Mstari huu unaonyeshaje kwamba kukosa imani kunaweza kumwongoza mtu kwenye mwenendo mbaya? (w11 4/15 26 ¶14)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Eze 8:1-12
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Ufu 4:11—Fundisha Kweli.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Zb 11:5; 2Ko 7:1—Fundisha Kweli.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) bh 127 ¶4-5—Onyesha jinsi ya kugusa moyo.
MAISHA YA MKRISTO
“Dumisha Viwango vya Yehova vya Maadili”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video Uwe Rafiki ya Yehova—Mwanamume Mmoja, Mwanamke Mmoja.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 14 ¶8-14, sanduku “‘Alikufa kwa Sababu ya Kumheshimu Munguʼ”
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Lijalo (Dak. 3)
Wimbo 33 na Sala