JULAI 3-9
EZEKIELI 11-14
Wimbo 52 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Je, Una Moyo wa Nyama?”: (Dak. 10)
Eze 11:17, 18—Yehova alitabiri kurudishwa kwa ibada ya kweli (w07 7/1 11 ¶4)a
Eze 11:19—Yehova anaweza kutupatia moyo ambao utatambua na kukubali mwongozo wake (w16.05 15 ¶9)
Eze 11:20—Yehova anataka tutumie mambo tunayojifunza
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Eze 12:26-28—Mistari hii inawapa wajibu gani watumishi wa Yehova? (w07 7/1 13 ¶8)
Eze 14:13, 14—Tunajifunza nini kutokana na kutajwa kwa watu hawa? (w16.05 26 ¶13; w07 7/1 13 ¶9)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Eze 12:1-10
BORESHA HUDUMA YAKO
Uwe Tayari Kutoa Machapisho Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumzo yanayotegemea “Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi.” Onyesha video za mapendekezo, halafu mzungumzie mambo makuu. Ikiwa video hizo hazipatikani, panga kuwe na onyesho.
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15) Au mnaweza kuzungumzia mambo tunayojifunza katika Kitabu cha Mwaka. (yb17 41-43)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 14 ¶15-23, sanduku la pitio “Ufalme Ni Halisi Kwako Kadiri Gani?”
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 43 na Sala
Ufupisho wa Machapisho:
a w = Mnara wa Mlinzi; yb17 = Kitabu cha Mwaka—2017; kr = Ufalme wa Mungu Unatawala!; wp = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Watu Wote; fg = Habari Njema Kutoka kwa Mungu; mwb16.08 = Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha—Agosti 2016; bh = Biblia Inafundisha Nini Hasa?; si = Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa; ce = Life—How Did It Get Here? By Evolution or by Creation?; it = Insight on the Scriptures