JULAI 10-16
EZEKIELI 15-17
Wimbo 11 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Je, Unatimiza Ahadi Zako?”: (Dak. 10)
Eze 17:1-4—Babiloni ilimwondoa Mfalme Yehoyakini na kumweka Sedekia awe mfalme (w07 7/1 12 ¶6)
Eze 17:7, 15—Sedekia alivunja kiapo chake cha ushikamanifu na kutafuta msaada wa kijeshi kutoka Misri (w07 7/1 12 ¶6)
Eze 17:18, 19—Yehova alitarajia Sedekia atimize mambo aliyoahidi (w12 10/15 30 ¶11; w88 9/15 17 ¶8)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Eze 16:60—“Agano lenye kudumu” ni nini, na ni nani wahusika wa agano hilo? (w88 9/15 17 ¶7)
Eze 17:22, 23—Ni nani kile “kitawi kichanga” ambacho Yehova alisema angekipandikiza? (w07 7/1 12 ¶6)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Eze 16:28-42
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) wp17.4 jalada—Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) wp17.4 jalada—Toa utangulizi wa video Kwa Nini Ujifunze Biblia? kisha uizungumzie (lakini usicheze video hiyo)
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) fg somo la 11 ¶1-2 —Mkaribishe kwenye mikutano.
MAISHA YA MKRISTO
Timiza Nadhiri Yako ya Ndoa Hata Unapohisi Umechoshwa na Ndoa Yako: (Dak. 10) Hotuba itolewe na mzee ikitegemea gazeti la Amkeni! la Machi 2014 ukurasa wa 14-15.
Uwe Rafiki ya Yehova—Sema Kweli: (Dak. 5) Onyesha video Uwe Rafiki ya Yehova—Sema Kweli. Kisha, waalike watoto uliowachagua mapema waje jukwaani na uwaulize maswali kuhusu video hiyo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 15 ¶1-8
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 137 na Sala