Julai 17-23
EZEKIELI 18-20
Wimbo 21 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Yehova Anaposamehe, Je, Yeye Husahau?”: (Dak. 10)
Eze 18:19, 20—Yehova anamhukumu mtu kulingana na matendo yake (w12 7/1 18 ¶2)
Eze 18:21, 22—Yehova yuko tayari kuwasamehe wale wanaotubu na hatawahukumu au kuwaadhibu kwa sababu ya dhambi alizowasamehe (w12 7/1 18 ¶3-7)
Eze 18:23, 32—Yehova huwaharibu waovu ikiwa tu hakuna njia nyingine (w08 4/1 8 ¶4; w06 12/1 27 ¶11)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Eze 18:29—Kwa nini Waisraeli walisitawisha mtazamo usiofaa kumhusu Yehova, na tunawezaje kuepuka kosa hilo? (w13 8/15 11 ¶9)
Eze 20:49—Kwa nini watu walifikiri kwamba Ezekieli alikuwa ‘akitunga maneno ya kimethali,’ na hilo linatupatia onyo gani? (w07 7/1 14 ¶3)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Eze 20:1-12
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) 1Yo 5:19—Fundisha Kweli. Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Mwa 3:2-5—Fundisha Kweli. Weka msingi wa ziara inayofuata. (Ona mwb16.08 8 ¶2.)
Hotuba: (Isizidi dak. 6) w16.05 32—Kichwa: Kutaniko Linaweza Kuonyeshaje Shangwe Tangazo la Kurudishwa kwa Mtu Aliyetengwa na Ushirika Linapotolewa?
MAISHA YA MKRISTO
“Je, Wewe Hujisamehe?”: (Dak. 10) Mazungumzo. Anza kwa kucheza video Uwe Mshikamanifu kwa Hukumu za Yehova—Uwe Mwenye Kusamehe.
Vijana Huuliza—Nifanye Nini Ninapokosea?: (Dak 5) Mazungumzo yanayotegemea makala “Vijana Huuliza—Nifanye Nini Ninapokosea?” Anza kwa kucheza rekodi ya sauti ya sehemu yenye kichwa “Wewe Ungefanya Nini?”
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 15 ¶9-17
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 38 na Sala