Julai 31–Agosti 6
EZEKIELI 24-27
Wimbo 118 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Unabii Kuhusu Tiro Unaimarisha Imani Yetu Katika Neno la Yehova”: (Dak. 10)
Eze 26:3, 4—Zaidi ya miaka 250 mapema, Yehova alitabiri kwamba Tiro lingeharibiwa (si 133 ¶4)
Eze 26:7-11—Ezekieli alitaja jina la taifa la kwanza na la kiongozi ambaye angevamia Tiro (ce 216 ¶3)
Eze 26:4, 12—Ezekieli alitabiri kwamba kuta, nyumba, na mavumbi ya Tiro yangetupwa ndani ya maji (it-1 70)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Eze 24:6, 12—Kutu ya chungu cha kupikia inafananisha nini? (w07 7/1 14 ¶2)
Eze 24:16, 17—Kwa nini Ezekieli hakupaswa kuomboleza mke wake alipokufa? (w88 9/15 21 ¶24)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Eze 25:1-11
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Trakti yoyote—Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Trakti yoyote—Toa utangulizi wa video Ni Nini Hutendeka Kwenye Funzo la Biblia kisha uizungumzie (lakini usicheze video hiyo).
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) bh 23 ¶13-15—Mkaribishe kwenye mikutano.
MAISHA YA MKRISTO
Imani Katika Neno la Mungu Hutusaidia Kuvumilia Majaribu: (Dak. 15) Mazungumzo yanayotegemea maandiko kama vile Isaya 33:24; 65:21, 22; Yohana 5:28, 29; na Ufunuo 21:4. Cheza video Kuthamini Baraka za Utawala wa Ufalme. Watie moyo wote wajiwazie wakiwa katika ulimwengu mpya, hasa wanapovunjwa moyo na matatizo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 15 ¶29-36, sanduku la pitio “Ufalme Ni Halisi Kwako Kadiri Gani?”
Pitia Mambo Makuu Mliyojifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 134 na Sala