Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Agosti uku. 2
  • Agosti 7-13

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Agosti 7-13
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Agosti uku. 2

Agosti 7-13

EZEKIELI 28-31

  • Wimbo 136 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Yehova Alithawabisha Taifa la Wapagani”: (Dak. 10)

    • Eze 29:18​—Mfalme Nebukadneza wa Babiloni hakupata faida yoyote kwa kazi ngumu ya kuvamia Tiro (it-2 1136 ¶4)a

    • Eze 29:19​—Mfalme Nebukadneza alipewa Misri kuwa nyara badala ya Tiro (it-1 698 ¶5)

    • Eze 29:20​—Yehova aliwathawabisha Wababiloni kwa sababu walifanya kazi kwa niaba yake (g86 11/8 27 ¶4-5)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Eze 28:12-19​—Matendo ya watawala wa Tiro yalifananaje na ya Shetani? (it-2 604 ¶4-5)

    • Eze 30:13, 14​—Unabii huu ulitimizwaje? (w03 7/1 32 ¶1-3)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Eze 29:​1-​12

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Uwe Tayari Kutoa Machapisho Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumzo yanayotegemea “Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi.” Onyesha video za mapendekezo, halafu mzungumzie mambo makuu. Ikiwa video hizo hazipatikani, panga kuwe na onyesho. Watie moyo wahubiri watie ndani matukio ya karibuni wanapohubiri na watumie vizuri video Je, Ungependa Kupata Habari Njema? wanapotoa broshua Habari Njema.

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 120

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 5) Au mnaweza kuzungumzia mambo tunayojifunza katika Kitabu cha Mwaka. (yb17 35-36 na sanduku katika ukurasa wa 35)

  • “Sitawisha Sifa Zinazompendeza Mungu​—Unyenyekevu”: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video Epuka Mambo Yanayoharibu Ushikamanifu​—Kiburi.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr “Sehemu ya 5​—Elimu ya Ufalme—​Kuwazoeza Watumishi wa Mfalme,” sura ya 16 ¶1-5, sanduku “Ibada ya Familia” na “Makusanyiko ya Kila Mwaka Ambayo Huwaunganisha Watu wa Mungu”

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 93 na Sala

a Ufupisho wa Machapisho: it = Insight on the Scriptures; w = Mnara wa Mlinzi; yb17 = Kitabu cha Mwaka​—2017; kr = Ufalme wa Mungu Unatawala!; g = Amkeni!; fg = Habari Njema Kutoka kwa Mungu

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki