Agosti 14-20
EZEKIELI 32-34
Wimbo 60 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mlinzi Ana Daraka Zito”: (Dak. 10)
Eze 33:7—Yehova alimweka rasmi Ezekieli kuwa mlinzi (it-2 1172 ¶2)
Eze 33:8, 9—Mlinzi aliepuka kuwa na hatia ya damu kwa kutoa onyo (w88 1/1 28 ¶13)
Eze 33:11, 14-16—Yehova atawahifadhi hai wale wanaotii onyo (w12 3/15 15 ¶3)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Eze 33:32, 33—Kwa nini tunapaswa kuendelea kuhubiri licha ya ubaridi? (w91 3/15 17 ¶16-17)
Eze 34:23—Mstari huu umetimizwaje? (w07 4/1 26 ¶3)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Eze 32:1-16
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) g17.4 jalada—Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) g17.4 jalada—Mkaribishe kwenye mikutano.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) fg somo la 2 ¶9-10—Onyesha jinsi ya kugusa moyo.
MAISHA YA MKRISTO
“Sitawisha Sifa Zinazompendeza Mungu—Ujasiri”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Epuka Mambo Yanayoharibu Ushikamanifu—Kuwahofu Wanadamu.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 16 ¶6-17
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 86 na Sala