Agosti 21-27
EZEKIELI 35-38
Wimbo 149 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Gogu wa Magogu Ataharibiwa Hivi Karibuni”: (Dak. 10)
Eze 38:2—Jina Gogu wa Magogu linawakilisha muungano wa mataifa (w15 5/15 29-30)
Eze 38:14-16—Gogu wa Magogu atawashambulia watu wa Yehova (w12 9/15 5-6 ¶8-9)
Eze 38:21-23—Yehova Mungu atajitukuza na kujitakasa kwa kumharibu Gogu wa Magogu (w14 11/15 27 ¶16)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Eze 36:20, 21—Ni sababu gani ya msingi ya kudumisha mwenendo mzuri? (w02 6/15 20 ¶12)
Eze 36:33-36—Maneno haya yametimizwaje katika nyakati za kisasa? (w88 9/15 24 ¶11)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Eze 35:1-15
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Zb 37:29—Fundisha Kweli.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Mwa 1:28; Isa 55:11—Fundisha Kweli.
Hotuba: (Isizidi dak. 6) w16.07 31-32—Kichwa: Ni Nini Maana ya Kuunganisha Vijiti Viwili?
MAISHA YA MKRISTO
“Sitawisha Sifa Zinazompendeza Mungu—Imani”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Fuatilia Mambo Yanayojenga Ushikamanifu—Imani.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 16 ¶18-24, sanduku “Kuimba Kuhusu Kweli,” sanduku la pitio “Ufalme Ni Halisi Kwako Kadiri Gani?”
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 87 na Sala