Agosti 28–Septemba 3
EZEKIELI 39-41
Wimbo 24 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Maono ya Hekalu la Ezekieli Yanakuhusuje?”: (Dak. 10)
Eze 40:2—Ibada ya Yehova imeinuliwa juu zaidi ya aina nyingine yoyote ya ibada (w99 3/1 11 ¶16)
Eze 40:3, 5—Yehova atatimiza kusudi lake kuhusu ibada safi (w07 8/1 10 ¶2)
Eze 40:10, 14, 16—Tunapaswa kuishi kupatana na viwango vya juu na vya unyoofu vya Yehova ili tumwabudu kwa njia inayokubalika (w07 8/1 11 ¶5)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Eze 39:7—Wanadamu wanapomlaumu Mungu kwa ukosefu wa haki, wanalitia unajisi jina lake kwa njia gani? (w12 9/1 21 ¶2)
Eze 39:9—Baada ya Har–Magedoni, vifaa vya vita vitakavyoachwa na mataifa vitashughulikiwaje? (w89 8/15 14 ¶20)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Eze 40:32-47
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) fg somo la 1 ¶1—Anza kwa kutoa utangulizi wa video Je, Ungependa Kupata Habari Njema? (lakini usionyeshe video). Toa broshua.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) fg somo la 1 ¶2—Weka msingi wa ziara inayofuata.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) fg somo la 1 ¶3-4
MAISHA YA MKRISTO
“Ninaweza Kufanya Upainia Msaidizi Lini Tena?”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video Kwa Msaada wa Yehova, Ninaweza Kufanya Jambo Lolote.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 17 ¶1-9
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 67 na Sala