Oktoba 23-29
HOSEA 8-14
Wimbo 76 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mpe Yehova Kilicho Bora Zaidi”: (Dak. 10)
Ho 14:2—Yehova anathamini sana sifa ya midomo yetu (w07 4/1 20 ¶2)
Ho 14:4—Wale wanaompa Yehova kilicho bora zaidi wanapata msamaha wake, kibali chake, na urafiki wake (w11 2/15 16 ¶15)
Ho 14:9—Tunapata faida kwa kutembea katika njia za Yehova (jd 87 ¶11)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Ho 10:12—Tunapaswa kufanya nini ili tuvune upendo mshikamanifu wa Yehova? (w05 11/15 28 ¶7)
Ho 11:1—Yesu alitimizaje maneno haya? (w11 8/15 10 ¶10)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Ho 8:1-14
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) T-35
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) T-35—Trakti iliachwa katika ziara iliyotangulia. Endeleza mazungumzo na ushughulikie kizuia mazungumzo kilichotokezwa na mwenye nyumba.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) lv 152 ¶13-15—Onyesha jinsi ya kugusa moyo.
MAISHA YA MKRISTO
“Tumia Maisha Yako Kumsifu Yehova!”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Tumia Vipawa Vyako Kumtumikia Yehova.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 20 ¶7-16, sanduku “Kifaa kwa Ajili ya Wafanyakazi wa Kutoa Misaada”
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 124 na Sala