Oktoba 30–Novemba 5
YOELI 1-3
Wimbo 77 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Wana Wenu na Binti Zenu Watatoa Unabii”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Yoeli.]
Yoe 2:28, 29—Wakristo watiwa-mafuta wanatumikia wakiwa wasemaji wa Yehova (w02 8/1 15 ¶4-5; jd 167 ¶4)
Yoe 2:30-32—Ni wale tu wanaoliitia jina la Yehova watakaookolewa wakati wa siku ya Yehova yenye kuogopesha (w07 10/1 13 ¶2)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yoe 2:12, 13—Mistari hii inatufundisha nini kuhusu toba ya kweli? (w07 10/1 13 ¶5)
Yoe 3:14—“Bonde la uamuzi” ni nini? (w07 10/1 13 ¶3)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Yoe 2:28–3:8
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Kadi ya mawasiliano ya JW.ORG
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Kadi ya mawasiliano ya JW.ORG—Kadi iliachwa katika ziara iliyotangulia. Endeleza mazungumzo na umalizie kwa kutoa utangulizi wa video kwenye jw.org.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) lv 196-197 ¶3-5
MAISHA YA MKRISTO
Yehova Anatusaidia Kuvumilia Majaribu: (Dak. 9) Onyesha video yenye kichwa Yehova Ni Mnara Wenye Nguvu Kwangu. Kisha waulize wasikilizaji: Familia ya akina Henschel ilikabili majaribu gani? Watoto wanaweza kufaidikaje kutokana na imani na utimilifu wa wazazi wao? Yehova anaweza kukuimarishaje kama alivyomwimarisha Ndugu Henschel?
Uwe Rafiki ya Yehova—Jina la Yehova: (Dak. 6) Onyesha video yenye kichwa Uwe Rafiki ya Yehova—Jina la Yehova. Kisha waalike jukwaani watoto uliowachagua mapema, na uwaulize: Jina la Yehova linamaanisha nini? Yehova aliumba nini? Yehova anaweza kukusaidiaje?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 20 ¶17-19; masanduku “Kulibadili Maisha Yake” na “Wajitoleaji Ulimwenguni Pote Wanaleta Kitulizo”; sanduku la pitio “Ufalme Ni Halisi Kwako Kadiri Gani?”
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 106 na Sala