Desemba 18-24
ZEKARIA 9-14
Wimbo 8 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Kaa Katika ‘Bonde la Milima’”: (Dak. 10)
Zek 14:3, 4—Lile “bonde kubwa sana” linawakilisha ulinzi kutoka kwa Mungu (w13 2/15 19 ¶10)
Zek 14:5—Wale ‘wanaokimbilia kwenye bonde’ na kukaa humo watalindwa (w13 2/15 20 ¶13)
Zek 14:6, 7, 12, 15—Wale walio nje ya bonde la Yehova la ulinzi wataharibiwa (w13 2/15 20 ¶15)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Zek 12:3—Yehova “[alifanyaje] Yerusalemu kuwa jiwe lenye kulemea”? (w07 12/15 22-23 ¶9-10)
Zek 12:7—Ni katika njia gani Yehova “ataokoa mahema ya Yuda kwanza”? (w07 12/15 25 ¶13)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Zek 12:1-14
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) g17.6 14-15—Mwalike kwenye mikutano yetu.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) g17.6—Katika ziara ya kwanza ukurasa wa 14 na 15 wa gazeti hilo ulizungumziwa. Onyesha jinsi ya kufanya ziara ya kurudia na umkaribishe kwenye mikutano yetu.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) jl somo la 5—Mwalike kwenye mikutano yetu.
MAISHA YA MKRISTO
Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo: (Dak. 7) Onyesha video ya Desemba ya Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo.
“Sehemu Mpya ya Mkutano wa Katikati ya Juma”: (Dak. 8) Mazungumzo. Onyesha video isiyo na sauti Bethfage, Mlima wa Mizeituni, na Yerusalemu.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy uku. 6-7
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 13 na Sala