Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Aprili uku. 3
  • Aprili 9-15

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Aprili 9-15
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Aprili uku. 3

Aprili 9-15

MATHAYO 27-28

  • Wimbo 69 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Nendeni Mkafanye Wanafunzi—Kwa Nini, Wapi, na Jinsi Gani?”: (Dak. 10)

    • Mt 28:18—Yesu ana mamlaka kubwa sana (w04 7/1 8 ¶4)

    • Mt 28:19—Yesu aliagiza kuwe na kampeni ya ulimwenguni pote ya kuhubiri na kufundisha (“mkafanye wanafunzi,” “watu wa mataifa yote” habari za utafiti Mt 28:19, nwtsty)

    • Mt 28:20—Tunapaswa kuwasaidia watu wajifunze na kutumia mambo yote ambayo Yesu alifundisha (“kuwafundisha” habari za utafiti Mt 28:20, nwtsty)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Mt 27:51—Kupasuka kwa pazia vipande viwili kulimaanisha nini? (“pazia,” “patakatifu” habari za utafiti Mt 27:51, nwtsty)

    • Mt 28:7—Malaika wa Yehova aliwaonyeshaje heshima wanawake waliokuja kwenye kaburi la Yesu? (“mkawaambie wanafunzi wake kwamba alifufuliwa” habari za utafiti Mt 28:7, nwtsty)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mt 27:38-54

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.

  • Video ya Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Dak. 5) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.

  • Hotuba: (Isizidi dak. 6) g17.2 14—Kichwa: Je, Yesu Alikufa Msalabani?

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 70

  • “Kuhubiri na Kufundisha—Sehemu Muhimu ya Kufanya Wanafunzi”: (Dak. 15) Mazungumzo. Unapozungumzia habari hiyo, onyesha video yenye kichwa Endelea Kuhubiri “Bila Kuacha”—Isivyo Rasmi na Nyumba kwa Nyumba na pia video yenye kichwa Endelea Kuhubiri “Bila Kuacha”—Hadharani na Kufanya Wanafunzi.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 16

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 73 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki