Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Aprili uku. 5
  • Aprili 23-29

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Aprili 23-29
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Aprili uku. 5

Aprili 23-29

MARKO 3-4

  • Wimbo 77 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Kuponya Katika Siku ya Sabato”: (Dak. 10)

    • Mk 3:1, 2—Viongozi wa dini ya Kiyahudi walikuwa wakijaribu kupata sababu ya kumshutumu Yesu (jy 78 ¶1-2)

    • Mk 3:3, 4—Yesu alijua kwamba walikuwa na maoni yasiyo na usawaziko na yasiyopatana na maandiko kuhusu sheria ya siku ya Sabato (jy 78 ¶3)

    • Mk 3:5—Yesu “[alihuzunika] sana kwa sababu mioyo yao ilikuwa migumu” (“kwa hasira na kuhuzunika sana” habari za utafiti Mk 3:5, nwtsty)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Mk 3:29—Ni nini kinachomaanishwa na kukufuru roho takatifu, na matokeo ya kufanya hivyo ni nini? (“anayekufuru roho takatifu,” “atakuwa na hatia ya dhambi ya milele” habari za utafiti Mk 3:29, nwtsty)

    • Mk 4:26-29—Tunaweza kujifunza nini kutokana na mfano wa Yesu wa mpandaji anayelala? (w14 12/15 12-13 ¶6-8)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mk 3:1-19a

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.

  • Ziara ya Kurudia ya Tatu: (Isizidi dak. 3) Chagua andiko lako mwenyewe, na utoe chapisho la kujifunzia.

  • Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) bhs 36 ¶21-22—Onyesha jinsi ya kugusa moyo.

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 103

  • “Yule Aliye na Masikio ya Kusikiliza, na Asikilize”: (Dak. 15) Eleza maana ya Marko 4:9 (“Yule aliye na masikio ya kusikiliza, na asikilize” habari za utafiti Mk 4:9, nwtsty). Onyesha video Pata Hekima kwa Kusikiliza Shauri. Kisha ongoza mazungumzo yanayotegemea sanduku “Sikiliza Shauri na Kukubali Nidhamu” katika sura ya 4 ya “Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu.”

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 18

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 123 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki