Aprili 23-29
MARKO 3-4
Wimbo 77 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Kuponya Katika Siku ya Sabato”: (Dak. 10)
Mk 3:1, 2—Viongozi wa dini ya Kiyahudi walikuwa wakijaribu kupata sababu ya kumshutumu Yesu (jy 78 ¶1-2)
Mk 3:3, 4—Yesu alijua kwamba walikuwa na maoni yasiyo na usawaziko na yasiyopatana na maandiko kuhusu sheria ya siku ya Sabato (jy 78 ¶3)
Mk 3:5—Yesu “[alihuzunika] sana kwa sababu mioyo yao ilikuwa migumu” (“kwa hasira na kuhuzunika sana” habari za utafiti Mk 3:5, nwtsty)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Mk 3:29—Ni nini kinachomaanishwa na kukufuru roho takatifu, na matokeo ya kufanya hivyo ni nini? (“anayekufuru roho takatifu,” “atakuwa na hatia ya dhambi ya milele” habari za utafiti Mk 3:29, nwtsty)
Mk 4:26-29—Tunaweza kujifunza nini kutokana na mfano wa Yesu wa mpandaji anayelala? (w14 12/15 12-13 ¶6-8)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mk 3:1-19a
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.
Ziara ya Kurudia ya Tatu: (Isizidi dak. 3) Chagua andiko lako mwenyewe, na utoe chapisho la kujifunzia.
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) bhs 36 ¶21-22—Onyesha jinsi ya kugusa moyo.
MAISHA YA MKRISTO
“Yule Aliye na Masikio ya Kusikiliza, na Asikilize”: (Dak. 15) Eleza maana ya Marko 4:9 (“Yule aliye na masikio ya kusikiliza, na asikilize” habari za utafiti Mk 4:9, nwtsty). Onyesha video Pata Hekima kwa Kusikiliza Shauri. Kisha ongoza mazungumzo yanayotegemea sanduku “Sikiliza Shauri na Kukubali Nidhamu” katika sura ya 4 ya “Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu.”
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 18
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 123 na Sala