Julai 9-15
LUKA 8-9
Wimbo 13 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Njoo, Uwe Mfuasi Wangu—Unahitaji Kufanya Nini?” (Dak. 10)
Lu 9:57, 58—Wote wanaomfuata Yesu wanapaswa kumtegemea Yehova (it-2 494)
Lu 9:59, 60—Wale wanaomfuata Yesu wanatanguliza Ufalme wa Mungu maishani mwao (“nikamzike baba yangu,” “Waache wafu wawazike wafu wao” habari za utafiti Lu 9:59, 60, nwtsty)
Lu 9:61, 62—Wale wanaomfuata Yesu hawawezi kujiruhusu wakengeushwe na vitu vya ulimwengu (“Kulima kwa plau” picha Lu 9:62, nwtsty; w12 4/15 15-16 ¶11-13)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Lu 8:3—Wakristo hao walikuwa “wakiwahudumia” Yesu na mitume kwa njia gani? (“waliokuwa wakiwahudumia” habari za utafiti Lu 8:3, nwtsty)
Lu 9:49, 50—Kwa nini Yesu hakumzuia mtu fulani asifukuze roho waovu, ijapokuwa mtu huyo hakuwa akimfuata? (w08 3/15 31 ¶2)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Lu 8:1-15
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.
Video ya Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Dak. 5) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Hotuba: (Isizidi dak. 6) w12 3/15 27-28 ¶11-15 —Kichwa: Je, Tunapaswa Kujuta kwa Sababu Tulijidhabihu kwa Njia Fulani kwa Ajili ya Ufalme?
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 28, sanduku “Mifano Kuhusu Kufunga”
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 110 na Sala