Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Septemba uku. 2
  • Septemba 3-9

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Septemba 3-9
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Septemba uku. 2

Septemba 3-9

YOHANA 1-2

  • Wimbo 13 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Yesu Afanya Muujiza Wake wa Kwanza”: (Dak. 10)

    • [Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Yohana.]

    • Yoh 2:1-3—Jambo fulani lenye kuaibisha lilikuwa karibu kutokea kwenye karamu ya harusi (w15 6/15 4 ¶3)a

    • Yoh 2:4-11—Muujiza wa Yesu uliimarisha imani ya wanafunzi wake (jy 41 ¶6)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Yoh 1:1—Ni sababu zipi zinazotuonyesha kwamba Yohana hakumaanisha “Neno” alikuwa sawa na Mungu Mweza-Yote? (“Neno,” “pamoja na,” “Neno alikuwa mungu” habari za utafiti Yoh 1:1, nwtsty)

    • Yoh 1:29—Kwa nini Yohana Mbatizaji alimwita Yesu “Mwanakondoo wa Mungu”? (“Mwanakondoo wa Mungu” habari za utafiti Yoh 1:29, nwtsty)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Yoh 1:1-18

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.

  • Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.

  • Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) bhs 50, Ukweli wa 2

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 38

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 8)

  • Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo: (Dak. 7) Onyesha video ya Septemba ya Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 35 ¶12-19

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 121 na Sala

a Ufupisho wa Machapisho:= Mnara wa Mlinzi; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; nwtsty = Toleo la Funzo la Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya; bhs = Biblia Inatufundisha Nini?; wp = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Watu Wote; cf = Njoo Uwe Mfuasi Wangu; lvs = Jinsi ya Kudumu Katika Upendo wa Mungu

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki