Septemba 3-9
YOHANA 1-2
Wimbo 13 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Yesu Afanya Muujiza Wake wa Kwanza”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Yohana.]
Yoh 2:1-3—Jambo fulani lenye kuaibisha lilikuwa karibu kutokea kwenye karamu ya harusi (w15 6/15 4 ¶3)a
Yoh 2:4-11—Muujiza wa Yesu uliimarisha imani ya wanafunzi wake (jy 41 ¶6)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yoh 1:1—Ni sababu zipi zinazotuonyesha kwamba Yohana hakumaanisha “Neno” alikuwa sawa na Mungu Mweza-Yote? (“Neno,” “pamoja na,” “Neno alikuwa mungu” habari za utafiti Yoh 1:1, nwtsty)
Yoh 1:29—Kwa nini Yohana Mbatizaji alimwita Yesu “Mwanakondoo wa Mungu”? (“Mwanakondoo wa Mungu” habari za utafiti Yoh 1:29, nwtsty)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Yoh 1:1-18
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) bhs 50, Ukweli wa 2
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 8)
Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo: (Dak. 7) Onyesha video ya Septemba ya Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 35 ¶12-19
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 121 na Sala
a Ufupisho wa Machapisho:= Mnara wa Mlinzi; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; nwtsty = Toleo la Funzo la Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya; bhs = Biblia Inatufundisha Nini?; wp = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Watu Wote; cf = Njoo Uwe Mfuasi Wangu; lvs = Jinsi ya Kudumu Katika Upendo wa Mungu