Septemba 17-23
YOHANA 5-6
Wimbo 2 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mfuate Yesu Ukiwa na Nia Nzuri”: (Dak. 10)
Yoh 6:9-11—Yesu aliulisha umati mkubwa kimuujiza (“watu wakaketi, karibu wanaume 5,000” habari za utafiti Yoh 6:10, nwtsty)
Yoh 6:14, 24—Watu walifikia mkataa kwamba Yesu alikuwa Masihi na wakamtafuta siku iliyofuata (“Nabii” habari za utafiti Yoh 6:14, nwtsty)
Yoh 6:25-27, 54, 60, 66-69—Kwa sababu nia ya watu hao ya kushirikiana na Yesu na wanafunzi wake haikuwa nzuri, walikwazwa na maneno ya Yesu (“chakula kinachoharibika . . . chakula kinachodumu kufikia uzima wa milele” habari za utafiti Yoh 6:27, nwtsty; “akila mwili wangu na kunywa damu yangu” habari za utafiti Yoh 6:54, nwtsty; w05 9/1 21 ¶13-14)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yoh 6:44—Baba anawavutaje watu kwake? (“amvute” habari za utafiti Yoh 6:44, nwtsty)
Yoh 6:64—Ni katika maana gani Yesu alijua “tangu mwanzo” kwamba Yuda atamsaliti? (“Yesu [alijua] . . . yule ambaye angemsaliti,” “tangu mwanzo” habari za utafiti Yoh 6:64, nwtsty)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Yoh 6:41-59
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mwenye nyumba anatokeza kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu.
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mwenye nyumba anakuambia kwamba yeye ni Mkristo.
Video ya Ziara ya Kurudia ya Pili: (Dak. 5) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
MAISHA YA MKRISTO
Je, Ulifaulu? (Dak. 5) Mazungumzo. Waalike wasikilizaji wasimulie mambo waliyoona walipojaribu kuanzisha mazungumzo yaliyoongoza kwenye kutoa ushahidi.
“Hakuna Kilichopotea”: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Ujenzi Usioharibu Mazingira Unamtukuza Yehova—Kisehemu.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 35 ¶28-36
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 89 na Sala