Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Oktoba uku. 4
  • Oktoba 15-21

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Oktoba 15-21
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Oktoba uku. 4

Oktoba 15-21

YOHANA 13-14

  • Wimbo 100 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Nimewawekea Kielelezo”: (Dak. 10)

    • Yoh 13:5—Yesu aliosha miguu ya wanafunzi wake (“kuiosha miguu ya wanafunzi” habari za utafiti Yoh 13:5, nwtsty)

    • Yoh 13:12-14—Wanafunzi walikuwa na wajibu wa “kuoshana miguu” (“mnapaswa” habari za utafiti Yoh 13:14, nwtsty)

    • Yoh 13:15—Wanafunzi wote wa Yesu wanapaswa kufuata kielelezo chake cha unyenyekevu (w99 3/1 31 ¶1)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Yoh 14:6—Yesu “ndiye njia na kweli na uzima” katika maana gani? (“Mimi ndiye njia na kweli na uzima” habari za utafiti Yoh 14:6, nwtsty)

    • Yoh 14:12—Biblia inamaanisha nini inaposema kwamba wanaomwamini Yesu ‘watafanya kazi kubwa kuliko’ alizofanya? (“kazi kubwa kuliko hizi” habari za utafiti Yoh 14:12, nwtsty)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Yoh 13:1-17

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo unapohubiri isivyo rasmi.

  • Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.

  • Video ya Ziara ya Kurudia ya Pili: (Dak. 5) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 114

  • “Upendo Unawatambulisha Wakristo wa Kweli—Kataa Kabisa Ubinafsi na Usiwe Mwenye Kuchokozeka”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video ‘Iweni na Upendo Kati Yenu Wenyewe’—Kataa Kabisa Ubinafsi na Usiwe Mwenye Kuchokozeka. Kadiri wakati unavyoruhusu, zungumzieni sanduku lenye kichwa “Tafakari Mfano Huu wa Biblia.”

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 39

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 120 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki