Oktoba 15-21
YOHANA 13-14
Wimbo 100 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Nimewawekea Kielelezo”: (Dak. 10)
Yoh 13:5—Yesu aliosha miguu ya wanafunzi wake (“kuiosha miguu ya wanafunzi” habari za utafiti Yoh 13:5, nwtsty)
Yoh 13:12-14—Wanafunzi walikuwa na wajibu wa “kuoshana miguu” (“mnapaswa” habari za utafiti Yoh 13:14, nwtsty)
Yoh 13:15—Wanafunzi wote wa Yesu wanapaswa kufuata kielelezo chake cha unyenyekevu (w99 3/1 31 ¶1)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yoh 14:6—Yesu “ndiye njia na kweli na uzima” katika maana gani? (“Mimi ndiye njia na kweli na uzima” habari za utafiti Yoh 14:6, nwtsty)
Yoh 14:12—Biblia inamaanisha nini inaposema kwamba wanaomwamini Yesu ‘watafanya kazi kubwa kuliko’ alizofanya? (“kazi kubwa kuliko hizi” habari za utafiti Yoh 14:12, nwtsty)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Yoh 13:1-17
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo unapohubiri isivyo rasmi.
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.
Video ya Ziara ya Kurudia ya Pili: (Dak. 5) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
MAISHA YA MKRISTO
“Upendo Unawatambulisha Wakristo wa Kweli—Kataa Kabisa Ubinafsi na Usiwe Mwenye Kuchokozeka”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video ‘Iweni na Upendo Kati Yenu Wenyewe’—Kataa Kabisa Ubinafsi na Usiwe Mwenye Kuchokozeka. Kadiri wakati unavyoruhusu, zungumzieni sanduku lenye kichwa “Tafakari Mfano Huu wa Biblia.”
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 39
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 120 na Sala