Novemba 5-11
YOHANA 20-21
Wimbo 35 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Je, Unanipenda Kuliko Hawa?”: (Dak. 10)
Yoh 21:1-3—Baada ya Yesu kufa, Petro na wanafunzi wengine walirudia kazi ya uvuvi
Yoh 21:4-14—Yesu aliyefufuliwa aliwatokea Petro na wanafunzi wengine
Yoh 21:15-19—Yesu alimsaidia Petro aelewe mambo ya kutanguliza (“Yesu akamuuliza Simoni Petro” na “je, unanipenda kuliko hawa?” habari za utafiti Yoh 21:15, nwtsty; “mara ya tatu” habari za utafiti Yoh 21:17, nwtstya)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yoh 20:17—Maneno ambayo Yesu alimwambia Maria Magdalene yanamaanisha nini? (“Acha kuning’ang’ania” habari za utafiti Yoh 20:17, nwtsty)
Yoh 20:28—Kwa nini Tomasi alimwita Yesu “Bwana wangu na Mungu wangu”? (“Bwana wangu na Mungu wangu!” habari za utafiti Yoh 20:28, nwtsty)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Yoh 20:1-18
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) bhs 79 ¶21-22.—Mwalike mwenye nyumba kwenye mkutano.
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 42
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 45 na Sala
a Ufupisho wa Machapisho: nwtsty = Toleo la Funzo la Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya; bhs =Biblia Inatufundisha Nini?; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; w = Mnara wa Mlinzi; it = Insight on the Scriptures; cl = Mkaribie Yehova; bt = “Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu; lvs = Dumu Katika Upendo wa Mungu